Nambari/Nominal Numbers

Nambari/Nominal Numbers

Msamiati / Vocabulary

sufuri
0
moja
1
mbili
2
tatu
3
nne
4
tano
5
sita
6
saba
7
nane
8
tisa
9
kumi
10
kumi na moja
11
kumi na tano
15
kuma na tisa
19
ishirini
20
ishirini na tisa
29
thelathini
30
thelathini na sita
36
arobaini
40
arobaini na saba
47
hamsini
50
hamsini na nane
58
sitini
60
sitini na sita
66
sabini
70
sabini na nne
74
themanini
80
themanini na nane
88
tisini
90
tisini na tisa
99
mia moja
100
mia moja na moja
101
mia moja na hamsini na tatu
153
mia moja na tisini na tisa
199
mia mbili
200
mia mbili na arobaini
240
mia tatu
300
mia tatu na thelathini na tatu
333
mia nne
400
mia nne na arobaini na tano
445
mia tano
500
mia tano na sitini na saba
567
mia sita
600
mia sita na tisini na sita
696
mia saba
700
mia saba na sabini na saba
777
mia nane
800
mia nane na kumi na moja
811
mia tisa
900
mia tisa na sitini na tisa
969
elfu moja
1000
elfu moja na moja
1001
elfu moja na mia tano
1500
elfu moja na mia tisa na tisini na tisa
1999
elfu mbili
2000
elfu mbili na tatu
2003
elfu tatu
3000
elfu kumi
10000
I have
Nina
Nilizaliwa
I was born
mwaka
year
Umri
age
nina miaka x
I am x years old
anwani
address
barua pepe
email
nambari yangu ya simu
my phone number
andika
write
Tuma
send
ujumbe
message
Nambari ya simu
phone number
piga simu
make a phone call
shilingi ya Kenya
Kenyan shilling
Shilingi ya Tanzania
Tanzanian shilling
Shilingi ya Uganda
Ugandan shilling
dola ya Marekani
American dollar
Nina shilingi X
I have Xshillings
shilingi x ni dola y/
X shillings is Ydollars
Pesa/Hela
Money

Zoezi I: Nambari ya simu

Complete the dialogue below between Jamila and Rafiki. You will be Jamila’s rafiki.

Jamila: Hujambo rafiki?

Rafiki:

Jamila: Salama rafiki yangu. Je, una simu?

Rafiki:

Jamila: Nambari yako ya simu ni gani?

Rafiki: ___. Nawewe je?

Jamila: Nambari yangu ni tatu mbili saba – nne tano sita – tisa moja sufuri nane (327-456-9104).

Rafiki: Asante, nitakupigia jioni.

Jamila: Nitashukuru. Kama sitaweza kuipokea, tafadhali niandikie ujumbe.

Rafiki: Sawa. Kwaheri.

Jamila: Kwaheri.

Zoezi II: Vivumishi vya Nambari/Adjectives of Quantity and Quality

As we previously mentioned, adjectives are marked using the noun class markers. We shall use M/WA nouns that we have learned so far to demonstrate how numbers are marked when used as adjectives. Follow the examples given below to complete the table of nouns, adjectives of quantity/quality, and the verbs.

NC NCM Noun Quantity Quality Verb
M a- mbwa (1) mmoja mzuri Alicheza
WA wa- mbwa (2) Wawili wazuri walicheza
M a- babu (1) ____refu ______tembea
WA wa- babu (3) ____refu ______tembea
M a- bibi (1) _____cheshi ______cheka (laugh)
WA wa- (4) _____cheshi ______ cheka
M a- (1) ______nene ______soma
WA wa- baba (5) ______nene ______soma
M a- mama (1) ______dogo _______nunua
WA wa- (6) sita ______dogo ______nunua
M a- dada (1) ______rembo ______imba
WA wa- (7) saba _____rembo ______imba
M a- (1) _____fupi ______fanya mazoezi
WA wa- kaka (8) _____fupi ______fanya mazoezi
M mpenzi (1) ______zuri ______pika
WA (9) _____zuri ______pika
M paka (1) _____dogo ______lala
WA (10) kumi _____dogo ______lala

Note: 6, 7, 9, and 10 are not marked because they are borrowed from Arabic.

Zoezi III: Je, mko wangapi katika familia yako?

i. Nina babu wawili

ii.

iii.

iv.

v.

vi.

vii.

viii.

ix.

x.

Zoezi IV: Je, watu katika familia yako wana miaka mingapi?

i. Babu yangu ana miaka ______________________.

ii.

iii.

iv.

v.

vi.

vii.

viii.

ix.

x.

Zoezi V: Je, watu katika familia walizaliwa lini?/walizaliwa mwak gani?

i. Bibi yangu alizaliwa mwaka wa elfu moja na mia tisa na hamsini (1950).

ii.

iii.

iv.

v.

vi.

vii.

viii.

ix.

x.

Zoezi VI: Wanyama wa Nyumbani (pets)

Je, una wanyama wangapi wa nyumbani?

Je, wanyama wana miaka mingapi?

Zoezi VII: Kuhesabu pesa

Convert the Kenyan shillings shown in the pictures below into Tanzanian shillings, Ugandan shillings, and the US dollar

five shillings coin

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

ten shillings coin

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

twenty shillings coin

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

fifty shillings bill

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

one-hundred shillings bill

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

two-hundred shillings bill

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

five-hundred shillings bill

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

one-thousand shillings bill

Shilingi ya Tanzania Shilingi ya Uganda Dola ya Marekani

Ordinal Numbers #

You can use the numbers to rank nouns such as

  1. Mimi ni mtoto wa nne katika familia.

    a. Je, wewe ni mtoto wa ngapi katika familia?

  2. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu.

    a. Je wewe ni mwanafunzi wa mwaka wa ngapi (mwaka gani?) katika chuo kikuu?

Zoezi VIII: Insha Kuhusu Rafiki Yangu

Andika insha kuhusu rafiki yako kwa kutumia vidokezo vifuatavyo/Write an essay about your friend using the following pompts. Respond to the prompts in one paragraph.

i. Jina lake ni nani?

ii. Anatoka wapi? (nchi, jimbo, mji)

iii. Anakaa/anaishi wapi?

iv. Ana kaka au dada?

v. Ana nini? (paka, mbwa,…)

vi. Anaenda chuo gani?

vii. Anaendaje chuoni?

viii. Anasoma nini?

ix. Anasema lugha ngapi?/gani?

x. Anapenda nini?

xi. Hapendi nini?

xii. Kwa nini unampenda rafiki yako?